BAJETI YA KILIMO YAHITIMISHWA BUNGENI DODOMA
Mdau wa Maendeleo mkoa wa Mbeya Eliurd Mwaiteleke kulia wa pili akiwa anafurahia jambo na waheshimiwa wabunge wa mkoa wa Mbeya akiwemo Mbunge wa jimbo la Makete baada ya kuhitimisha mjadala wa Bajeti ya Kilimo